Biriani Ya Nyama Ya Ng'ombe

VIPIMO VYA NYAMA
Nyama 2 Ratili (LB)
Chumvi kiasi
Mafuta 1 Kikombe
Samli ½ Kikombe
Kitungu (Kata virefu virefu) 3 Vikubwa
Nyanya (kata vipande) 2
Nyanya kopo 1 Kijiko cha chakula
Thomu 1 Kijiko cha chakula
Tangawazi 1 Kijiko cha chakula
Pilipili mbichi iliyosagwa 1 Kijiko cha chai
Pilipili ya unga nyekundu ½ Kijiko cha chai
Kotmiri iliyokatwa 2 Vijiko vya chakula
Viazi 6
Gram masala 1 Kijiko cha chai
Mtindi ¼ Kikombe cha chai
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha


