Tambi Za Kukaanga

VIPIMO
Tambi
Sukari
Mafuta
Iliki
Maji
Vanilla / Arki rose 1-2 Tone
Zabibu Kiasi (Ukipenda)
NAMNA YA KUTAYARISHA NA KUPIKA
1. Zichambue tambi ziwe moja moja.
2. Mimina mafuta kwenye sufuria yakisha pata moto mimina
tambi,zigeuzegeuze mpaka zibadilike rangi na kuwa brown.
3. Punguza mafuta kwa kuyachuja na zirudishe jikoni.
4. Nyunyizia iliki zilizosagwa koroga kidogo na mimina maji na tia arki
na acha zichemke mpaka maji yakikaribia kukauka mimina sukari
koroga kidogo na punguza moto.
6. Zikishakauka pakua kwenye sahani tayari kwa kuliwa
Kidokezi: Itategemea na aina za Tambi unazopika kwa kukisia maji,
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha


