016-Maswali 200 Na Majibu Ya ‘Aqiydah: Ni Ipi Nafasi Ya Shahaadah Mbili Katika Dini?

200 سُؤالٌ وَ جَوَابٌ فِي الْعَقِيدَة

Maswali 200 Na Majibu Ya ‘Aqiydah

 

لِلشَّيخ حافِظ بن أحْمَد الحَكمَيّ

Shaykh Haafidhw Bin Ahmad Al-Hakamiyy (رحمه الله)

Imefasiriwa na:  Alhidaaya.com

 

016-Ni Ipi Nafasi Ya Shahaadah Mbili Katika Dini?

 

 

 

Swali:

س: ما محل الشهادتين من الدين

 

Ni ipi nafasi ya shahaadah mbili katika Dini?

 

 

Jibu:

 

 

ج: لا يدخل العبد في الدين إلا بهما

قال الله تعالى ( إنما المؤمنون الذين آمنوا بالله ورسوله )

 وقال النبي صلى الله عليه وسلم  ( أمرت أن أقاتل الناس حتى يشهدوا أن لا إله إلا الله وأن محمدا عبده ورسوله )  الحديث وغير ذلك كثير.

 

Mtu haingii katika Dini isipokuwa kwa Shahaadah hizo mbili. Allaah Anasema: 

 

إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ الَّذِينَ آمَنُوا بِاللَّـهِ وَرَسُولِهِ

Hakika Waumini ni wale waliomwamini Allaah na Rasuli Wake [An-Nuwr (24: 62)]

 

 Na Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) akasema:

 

((أُمِرْتُ أن أقاتِل الناسَ حتى يَشهدُوا أن لا إله إلا الله ، أنَّ محمداً رسولُ الله...)

((Nimeamrishwa kupigana na watu mpaka washuhudie kuwa hapana mwabudiwa wa haki ila Allaah na kwamba Muhammad ni Rasuli Wake)) [Al-Bukhariy na Muslim Hadiyth ya ‘Abdullaahi bin ‘Umar (رضي الله عنهما)]

 

Na Hadiyth nyenginezo zaidi ya hiyo.

 

 

Share