Imaam Ibn Baaz: Ghiybah (Kusengenya) Ni Haraam Na Katika Al-Kabaair (Madhambi Makubwa)

 

Ghiybah (Kusengenya) Ni Haraam Na Katika Al-Kabaair (Madhambi Makubwa)

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

 

“Wamekubaliana ‘Ulamaa wa Kiislaam kuwa Ghiybah (Kusengenya) ni Haraam nayo ni katika Al-Kabaair (madhambi makubwa), na ni sawasawa (dhambi zake) ikiwa kuna dosari katika mtu au bila ya kuweko dosari.”

 

 

[Majmuw’ Fataawaa Wa Maqalaat Ash-Shaykh Ibn Baaz (5/421)]

 

 

 

 

Share