Al-Lajnah Ad-Daaimah: Kuwafananisha Watoto Na Malaika

 

 

Kuwafananisha Watoto Na Malaika Haijuzu

Al-Lajnah Ad-Daaimah

Alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

”Ni nini hukumu ya kuwafananisha watoto na Malaika, kwa sababu katika lugha yetu tunasema kuwa watoto ni Malaika?”

 

JIBU:

 

Haifai. Hili ni kosa kubwa ambalo watu wengi wanaangukia na hakuna hoja wala mazingatio ya kudai kwao kwamba wanakusudia kuwa watoto hawana dhambi kama vile Malaika.

 

Wa bi-LLaahi At-Tawfiyq wa Swalla Allaahu ‘alaa Nabiyyinaa Muhammad wa aalihi wa Swahbihi wa sallam.

 

 

 

[Fataawaa Al-Lajnah Ad-Daaimah Lil-Buhuwth Al-'Ilmiyyah Wal-Iftaa: Fatwa (16)]

 

 

Share