15-Dalili Za Kheri Katika Mambo Yamfaayo Maiti: Kumuombea kheri Mwenye kufa

 
Kumuombea kheri Mwenye kufa:
 
 
Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) amesema, “Mtakapokuwa mnamuombea anayekaribia kufa au aliye shakuwa maiti muombeeni kheri kwani Malaika huitikia Amin kwa yale mnayoyaomba.” (Muslim)
Share