45-Dalili Za Kheri Katika Mambo Yamfaayo Maiti: Matamko ya taazia ni haya yafuatayo

 
Matamko ya taazia ni haya yafuatayo:
 
Mtume aliagizwa mara moja kwa mmoja wa wanawe hali ya kuwa ana mtoto anayetaka kufa, Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) akasema, “Hakika ni cha Allah alichokichukuwa na ni chake alichokitoa, na kila kitu mbele yake kinakwenda kwa muda maalum, hivyo subiri na ujitathmini.” (Bukhari)
Hali kadhalika siku moja Mtume alimuona mwanamke fulani akilia kaburini, Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) akamwambia, “Mche Mwenyezi Mungu na usubiri.”
 
Share