01-Uswuul Al-Fiqhi: Kuhusu Kitabu Hichi

   

Uswuul al-Fiqh ni sayansi ambayo, hoja na ufunuo (wahy) unakaa pamoja kwa kushirikisha rai yakinifu na shari'ah iliyopokewa. Lakini bado, al-Uswuul haitegemei sana katika hoja hadi kufikia sehemu ya kukataliwa na shari'ah iliyopokewa, pia haiegemezwi kiurahisi katika kukubali kwa upofu utakaopelekea kutounganishwa na hoja.

 

Kitabu hichi ni hatua ya kurahisisha Uswuul al-Fiqh na utangulizi wake kwa wataalamu katika sayansi ya jamii na wale ambao hawana nafasi ya kusoma kwa ndani maelezo ya sayansi hiyo.

 

 

    

 

 

 

 

Share