Skip navigation.
Home kabah

Hadiyth Ya 23 - Kibri Ni Kanzu Yangu Na Utukufu Ni Joho Langu

 

 

Hadiyth Ya 23

 

Kibri Ni Kanzu Yangu Na Utukufu Ni Joho Langu

Atakayeshindana Nami Nitamuingiza Motoni

 

 

عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ قَالَ هَنَّادٌ قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ:  ((قَالَ اللَّهُ عَزَّ وَجَلَّ الْكِبْرِيَاءُ رِدَائِي وَالْعَظَمَةُ إِزَارِي فَمَنْ نَازَعَنِي وَاحِدًا مِنْهُمَا قَذَفْتُهُ فِي النَّارِ)) أبو داود, ابن ماجه و أحمد

 

 

Kutoka kwa Abu Hurayrahرضي الله عنه   ambaye amesema kwamba Mtume صلى الله عليه وسلم amesema: ((Allaah Amesema: Kibri ni kanzu Yangu na utukufu ni joho Langu, yule ashindanaye na Mimi katika kimoja katika hayo nitamtia motoni)) [Abu Daawuud, Ibn Maajah na Ahmad]