Skip navigation.
Home kabah

Hadiyth Ya 34 - Mwenye Kufurahi Na Kuchukia Kukutana Na Allaah

 

 

Hadiyth Ya 34

 

Mwenye Kufurahi Na Kuchukia Kukutana Na Allaah

 

 

عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قَالَ:  ((قَالَ اللَّهُ إِذَا أَحَبَّ عَبْدِي لِقَائِي أَحْبَبْتُ لِقَاءَهُ وَإِذَا كَرِهَ لِقَائِي كَرِهْتُ لِقَاءَهُ))

البخاري و مالك

 

Kutoka kwa Abu Hurayrahرضي الله عنه  ambaye amesema kwamba Mtume صلى الله عليه وسلم amesema: ((Allaah سبحانه وتعالى Amesema: Mja wangu akipenda kukutana na Mimi, Nami hupenda kukutana naye; na akiwa hapendi kukutana na Mimi, basi nami sipendi kukutana naye)) [Al-Bukhaariy na Maalik]