Kurudisha Ubikra Haifai Na Ni Udanganyifu
SWALI:
Nimesoma nakala yenu, nimevutiwa
JIBU:
Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu 'anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.
Shukrani zetu za dhati kwa dada yetu muuliza swali. Hakika ni kuwa zipo dawa za kienyeji za kurudisha ubikira bandia. Hapa lakini tunataka kuuliza kwa nini mwanamke wa Kiislamu anataka kurudisha ubikira? Hii ni njia ya udanganyifu inayotumiwa na wasichana wanaoolewa hasa kwa siku hizi katika mwambao wa
Ikiwa tayari umeolewa na unaishi na mumeo unatakia nini tena ubikira kwani ubikira ni
Tutahadharini hayo kwani Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:
" Mwenye kutughushi sisi (kutudanganya) si katika sisi" (Muslim).
Na tufahamu kuwa udanganyifu ni alama moja ya unafiki.
Na Allaah Anajua zaidi
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha


