Amefariki Hana Wazazi Wala Watoto
SWALI
ASSALAM ALAYKUM,
AMEFARIKI MTU (MWANAUME) HAKUACHA WAZAZI WALA MTOTO
(A) NDUGU (WAWILI) WA KIKE MMOJA NA WAKIUME MMOJA. ALIOZALIWA NAO BABA MMOJA NA MAMA MMOJA (SHAQIIQ)
(B) NDUGU (WANANE) WA KIKE WATANO NA WAKIUME WATATU. ALIOZALIWA NAO BABA MMOJA MAMA MBALIMBALI.
JE WANAORITHI NI (A) TU, AU (A) NA (B) PAMOJA?
JIBU:
Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu 'anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.
Shukran kwa swali lako
|
Mrithi |
Uhusiano |
Haki yake |
Hukumu |
|
1 |
Kaka shaqiqi |
66.66% |
Huyu anapata thuluthi mbili (2/3) |
|
2 |
Dada shaqiqi |
33.33% |
Nasibu yake ni thuluthi (1/3) |
|
3 |
Kaka wa baba1 |
0 |
Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa marehemu. |
|
4 |
Kaka wa baba2 |
0 |
Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa marehemu. |
|
5 |
Kaka wa baba3 |
0 |
Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa marehemu. |
|
6 |
Dada wa baba1 |
0 |
Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa marehemu. |
|
|
Dada wa baba2 |
0 |
Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa marehemu. |
|
|
Dada wa baba3 |
0 |
Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa marehemu. |
|
|
Dada wa baba4 |
0 |
Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa marehemu. |
|
|
Dada wa baba5 |
0 |
Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa marehemu. |
|
|
Jumla |
100% |
|
Na Allaah Anajua zaidi
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha


