Imaam Ibn Taymiyyah: Mja Kuchukia Dhambi Na Kuiacha Ataongezewa Wema

 

Mja Kuchukia Dhambi na Kuiacha Ataongezewa Wema

 

Imaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

Amesema Shaykh Al-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah):

"Kila ambaye nafsi yake itamhadithia juu ya dhambi, kisha akaichukia na kujiepusha nayo na kuiacha, atazidishiwa wema na kumcha Allaah."

 

[Majmuw' Al-Fataawa, 1/867]

 

Share