003-Hiswnul-Muslim: Du’aa Ya Kuvaa Nguo Mpya

Hiswnul-Muslim

003-Du’aa Ya Kuvaa Nguo Mpya

www.alhidaaya.com

 

 

 

 Bonyeza Hapa Usikilize

 

 

 

 

[6] 

 

اللّهُـمَّ لَـكَ الحَـمْـدُ أنْـتَ كَسَـوْتَنيهِ، أَسْأَلُـكَ مِـنْ خَـيرِهِ وَخَـيْرِ مَا صُنِعَ لَـه، وَأَعوذُ بِكَ مِـنْ شَـرِّهِ وَشَـرِّ مـا صُنِعَ لَـهُ.

 

Allaahumma Lakal Hamdu Anta Kaswtaniyhi. As-aluka min khayrihi wa khayri maa swuni’a lahu, wa a’uwdhu bika min sharrihi wa sharri maa swuni’a lahu

 

Ee Allaah, Himdi ni Zako, Wewe Ndiye Uliyenivisha, nakuomba kheri ya nguo hii, na kheri ya kila ambacho nguo hii imetengenezewa, na najikinga Kwako kutokana na shari yake, na shari ambayo nguo hii imetengenezewa[1]

 

 

 

 

[1]Hadiyth ya Abu Sa’iyd Al-Khudriyy, Sa’ad bin Maalik (رضي الله عنهما) - Abu Daawuwd na At-Tirmidhiy na Al-Baghaawiy na angalia: Mukhtaswar Shamaail At-Tirmidhiy ya Al-Albaaniy (رحمه الله) (Uk. 47).

 

 

Share