Imaam Ibn Al-Qayyim: Chukizo La Kuwaita Watoto Majina Ya Suwrah Za Qur-aan

 

Chukizo La Kuwaita Watoto Majina Ya Suwrah Za Qur-aan

 

Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu-Allaah)

 

Alhidaaya.com 

 

  

 

“Na katika yanayokatazwa ni kuita (watoto) majina ya Qur-aan na ya Suwrah mfano Twahaa na Yaasiyn na Haamiym”

 

 

[Tuhfatul-Mawduwd (165)]

Share