Skip to main content

Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)

Kuomba Kinga Ya Balaa Kuu,  Kukumbwa Na Mateso, Majaaliwa Mabaya, Bezo La Maadui

www.alhidaaya.com

 أللَّهُمَّ إِنِّي أَعُوذُ بِكَ مِنْ جَهْدِ الْبَلاَءِ وَدَرَكِ الشَّقَاءِ وَسُوءِ الْقَضَاءِ وَشَمَاتَةِ الأَعْدَاءِ

Allaahumma inniy a’uwdhu bika min jahdil-balaai wa darakish-shaqaai wa suw-il-qadhwaai, wa shamaatatil-a’daai

Ee Allaah hakika mimi najikinga Kwako na balaa kuu (misukosuko n.k.) na kukumbwa na mateso (mashaka n.k.) na majaaliwa mabaya na bezo la maadui.

[Al-Bukhaariy, Muslim]