Skip to main content

Imaam Ibn Taymiyyah: Niyyah Ya Kwanufaisha Watu Ni Kupata Daraja Ya Al-Abraar Na Al-Akhyaar

Niyyah Ya Kwanufaisha Watu Ni Kupata Daraja Ya Al-Abraar Na Al-Akhyaar

Imaam Ibn Taymiyyah  (Rahimahu Allaah)

www.alhidaaya.com

Imaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:

"Anayetaka kufikia daraja ya Al-Abraar (Waja Wema Watukufu) na kujifananisha na Al-Akhyaar (waliobora kabisa) basi atie niyyah kunufisha viumbe kila siku linapotoka jua.”

[Imaam Ibn Taymiyyah – Sharh Hadiyth Jibriyl (609)]