14-Fadhila Za Laa Ilaaha Illa Allaah: Kusema Subhaana Allaah... Laa Ilaaha Allaah Naipenda Zaidi Kuliko Kilichoangaziwa Na Jua

 

Hadiyth Kuhusu Fadhila Za Laa Ilaaha Illa Allaah

 

www.alhidaaya.com

 

 

14- Kusema Subhaana Allaah WalhamduliLLaah Wa Laa Ilaaha Illa Allaah Wa Allaahu Akbar Naipenda Zaidi Kuliko Kila Kilichoangaziwa Na Jua

 

 

عَنْ أبي هريرة رضي الله عنه: قَالَ رَسُولَ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّم: ((لأَنْ أَقُولَ: سُبْحَانَ اللهِ، والحَمْدُ للهِ، وَ لاَ إَلَهَ إلاَّ اللهُ، واللهُ أَكْبَرُ، أَحَبُّ إَلَيَّ مِمَّا طَلَعَتْ عَلَيْهِ الشَّمْسُ)) مسلم

 

Imepokelewa kutoka kwa Abuu Hurayrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Kusema kwangu: Subhaana-Allaah, WalhamduliLLaah, wa laa ilaaha illa Allaah, wa Allaahu Akbar (Utakasifu ni wa Allaah na Himdi Anastahiki Allaah, na hapana mwabudiwa wa haki  ila ni Allaah, na Allaah ni Mkubwa) naipenda zaidi kuliko kila kilichoangaziwa na jua))  [Muslim]

 

 

Share