25-Fadhila Za Laa Ilaaha Illa-Allaah: Nguzo Ya Kwanza Ya Kiislamu: Laa Ilaaha Illa Allaah ...

Hadiyth Kuhusu Fadhila Za Laa Ilaaha Illa Allaah

 

www.alhidaaya.com

 

25-Laa  Ilaaha Illa Allaah Ni Nguzo Ya Kwanza Ya Kiislamu

 

 عن أبي عَبْدِ الرَّحْمنِ عَبْدِ اللهِ بنِ عُمَرَ بنِ الخَطابِ رَضيَ اللهُ عنهُما قال: سَمِعْتُ رسُولَ الله صلى الله عليه وسلم يقولُ: ((بُنَي الإسلامُ على خَمْسٍ: شهادَةِ أَنْ لا إلهَ إلا اللهُ وأَنَّ محمَّداً رسولُ اللهِ، وإقَامِ الصَّلاةِ، وإيتَاءِ الزَّكاةِ، وحَجِّ البَيْتِ، وصَوْمِ رَمَضَانَ )) رَوَاهُ الْبُخَارِيُّ

Kutoka kwa Abuu 'Abdir-Rahmaan Abdillaah bin 'Umar bin Al-Khattwaab  (رضي الله عنه)  amesema:  Nimemsikia Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) akisema: “Uislamu umejengwa kwa nguzo tano: Kukiri na kushuhudia kwamba: Laa ilaaha illa Allaah (hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah) na Muhammad ni Rasuli Wake,  kusimamisha Swalaah, kutoa Zakaah na kuhiji Al-Bayt (Makkah) na kufunga swawm Ramadhwaan.” [Al-Bukhaariy na Muslim]

Share