Al-Lajnah Ad-Daaimah: Kutawassal Kwa Walio Makaburini Haijuzu Kwani Hawasikii Sauti Za Wanaowaomba

Kutawassal Kwa Waliofariki Makaburini Haijuzu Kwani Hawasikii Sauti Za Wanaowaomba

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah:

 

www.alhidaaya.com.

 

 

‘Ulamaa wa Al-Lajnah Ad-Daaimah wamesema:

 

“Akishafariki mwana Aadam, masikio yake hayafanyi kazi wala hadiriki kusikia sauti za duniani wala kusikia maongezi yao kwani Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) Anasema:

وَمَا أَنتَ بِمُسْمِعٍ مَّن فِي الْقُبُورِ ﴿٢٢﴾

nawe huwezi kuwasikilizisha walioko kaburini. [Faatwir: 22]

 

 

[Fataawa Al-Lajnah Ad-Daaimah (1/478-479)]

 

 

Share