Imaam Ibn Rajab: Haikuthibiti Mwezi Wa Rajab Kuwa Ni Mahsusi Kwa Ajili Ya Kutoka Zakaah

 

Haikuthibiti Mwezi Wa Rajab Kuwa Ni Mahsusi Kwa Ajili Ya Kutoka Zakaah

 

Imaam Ibn Rajab (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

 

 

Imaam Ibn Rajab (Rahimahu-Allaah) amesema: 

 

 

“Hakuna dalili katika Sunnah wala sijui kutoka kwa Salaf yeyote kuwa mwezi wa Rajab ni mahsusi kwa ajili ya kutoa Zakaah.”  [Latwaaif Al-Ma’aarif (141)]

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Share