048-Hiswnul-Muslim: Du’aa Ya Kuwakinga Watoto

Hiswnul-Muslim

048-Du’aa Ya Kuwakinga Watoto

www.alhidaaya.com

 

Bonyeza Hapa Usikilize

 

 [146]

 

 كَانَ النَّبِيُّ صلَّى اللّه عَلَيْهِ وسَلَّم يَعُوذُ الْحَسَنْ وَالْحُسَيْن

 

Nabiy (صلى الله عليه وسلم) alikuwa  akiwakinga (wajukuu wake)  Al-Hasan na Al-Husayn akisema:

 

أُعيـذُكُمـا بِكَلِـماتِ اللهِ التّـامَّة، مِنْ كُلِّ شَيْـطانٍ وَهـامَّة، وَمِنْ كُـلِّ عَـيْنٍ لامَّـة

 

U’iydhukumaa bikalimaatiLLaahit-ttaammati min kulli shaytwaanin wa haammah, wa min kulli ’aynin laammah

 

Nawakinga kwa maneno ya Allaah yaliyotimia Awakinge kutokana na kila shaytwaan na uvamizi na kila jicho lenye kudhuru[1]

 

 

 

 

 

[1]Hadiyth ya ‘Abdullaahi bin ‘Abbaas (رضي الله عنهما) - Al-Bukhaariy (4/119) [3371].

 

 

Share