116-Hiswnul-Muslim: Takbiyrah Atakapofika Katika Hajarul-Aswad

Hiswnul-Muslim .

116-Takbiyrah Atakapofika Katika Hajarul-Aswad 

www.alhidaaya.com

 

 

Bonyeza Hapa Usikilize

 

[234]

 

 طَافَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم بِالْبَيْتِ عَلى بَعِيرٍ، كُلَّما أَتَى الرُّكْن أَشَارَ إِلَيْهِ بِشَيْءٍ عِنْدَهُ وَكَبَّرَ

 

Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وسلم) alitufu kuzunguka Al-Ka’bah juu ya ngamia. Kila alipofika katika rukn (Hajarul-Aswad) alikuwa anaashiria kwa kitu na kusema:

 

اللهُ أكْبَر

Allaahu Akbar

 

Allaah ni Mkubwa[1]

 

 

 

[1] Al-Bukhaariy pamoja na Al-Fat-h (3/476), na ilokusudiwa ‘kitu’ ni fimbo yake. Angalia: Al-Bukhaariy pamoja na Al-Fat-h (3/472).

 

Hajarul-Aswad: Jiwe jeusi lilioko pembe moja ya Al-Ka’bah

 

 

Share