Maswali: Swalah-Sunnah
Sunnah, Swalah-Sunnah
Kuswali Rakaa Mbili Baada Ya Kutawadha Ni Sunnah Na Nini Fadhila Zake?
SWALI:
Asalam Aleikum
Ninapomaliza kutawadha huwa na sali rakaa mbili kwanza kabla ya sala ya fardhi hii suna una inuwia vipi?
Dalili Gani Baada Ya Swalaah ya Istikhaarah Je Kuna Muda Maalumu Wa Kuiswali
SWALI:
Swalaah Ya Istikhaarah Iswaliwe Kwa Ajili Ya Nini Na Ipi Du'aa Yake?
SWALI
AAWW,
Please elaborate why one should pray for Salat Istikara.
Wengi wana confuse baina ya kuomba. They do perform for both (kwa kitu kilicho haramishwa pia kwa kitu kilicho halalishwa).
Kuufanya Usiku Wa Ijumaa Kuwa Ni Maalum Kwa Ibada Ya Qiyaamul-Layl
SWALI:
Naomba kueleweweshwa kuhusiana na kusimama usiku wa kuamkia ijumaa kwa ajili ya kiamulaili inaruhusiwa? kuna hadith ambayo niliwahi kuisikia ambayo inakataza kufanya hivyo ambayo ipo ktk kitabu cha bulugh l-maramy.
Naomba nifahamishwe in Shaa Allaah
JIBU:
Tahiyyatul-Masjid Swalah Za Sunnah Wakati Imaam Anahutubia
SWALI:
Assalam Alaikum Warahmatulah Wabarakatuhu.
Ama Baad, Ndugu zangu wa Alhidaya ninaswali nataka kuwauliza na In Shaa Allaah atawawezesha kulijibu.
Du'aa Ya Swalaah Ya Dhwuhaa Imethibiti?
SWALI:
Asalam alaykum,
Swali ni hivi, kwenye swala ya dhuha kuna dua maalum inayotakiwa isomwe? naomba msaada wenu.
JIBU: