Skip to main content

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Ahlus-Sunnah Msikate Tamaa Kwa Wingi Wa Maadui Wanaopambana Na Haki

Kauli Za Salaf: Manhaj

Ahlus-Sunnah Msikate Taamaa Kwa Wingi Wa Maadui Wanaopambana Na Haki

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

www.alhidaaya.com

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

“Tunapaswa kutovunjika moyo kwa wingi wa maadui na nguvu walizonazo wale wenye kupambana na Haki.

Hakika Haki ni yenye kunusuriwa, (lakini pia ni) yenye kujaribiwa kwa mitihani (mbalimbali).”

[Sharh Kashf Ash-Shubuhaat, uk. 64-65]

Alhidaaya.com