Skip to main content

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Khayr Yote Imo Katika Kufuata Salaf

Kauli Za Salaf: Manhaj

Khayr Yote Imo Katika Kufuata Salaf

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn  (Rahimahu Allaah)

www.alhidaaya.com

“Mkitaka khayr, basi Wa-Allaahi hatujui njia ya iliyo ya khayr kama njia ya Salaf.

Kwa hiyo shikilieni Sunnah ya Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) kwa magego na elekeeni kuingia katika njia ya Salafus-Swaalih.”

[Al-Ibdaa’ fiy Kamaal Ash-Shar‘, uk. 24]