Skip to main content

Shaykh Fawzaan: Ukitaka Kusalimika Na Ukitaka Furaha…Shikamana Na Manhaj Ya Salaf

Ukitaka Kusalimika Na Ukitaka Furaha…Shikamana Na Manhaj Ya Salaf

Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)

Alhidaaya.com

Shaykh Swaalih Fawzaan (Hafidhwahu Allaah) amesema:

“Ukitaka kusalimika na ukitaka furaha na ukataka salama (ya kuepukana) na upotevu; basi ni juu yako (kushikamana na) Manhaj ya Salaf.”

[Sharhu Ad-Durrat Al-Madhwiyyah, uk. 278]