Fataawaa Kuhusu Tahniyk (Kumrambisha Mtoto Mchanga Kitamu Kitamu)

Fataawaa Kuhusu Tahniyk (Kumrambisha Mtoto Mchanga Kitamu Kitamu)

 

Imaam An-Nawawiy, Imaam Ibn Baaz,

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahumu Allaah)

Alhidaaya.com

 

 

SWALI:

 

Ni wakati gani inafaa Tahniyk (Kumrambisha kitu kitamu mtoto mchanga?)

 

Imaam An-Nawawiy (Rahimahu Allaah): amesema:

 

“Tahniyk ni siku aliyozaliwa, ni Sunnah kwa makubaliano ya ‘Ulamaa.”

 

[Sharh Swahiyh Muslim lin-Nawawiy  14/123]

 

 

 

Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema: “(Tahniyk) Ni bora zaidi kufanywa siku ya kuzaliwa.’’ 

 

[Duruws Sharh Buluwgh Al-Maraam Kitaab Atw-Twa’aam].

 

 

 

Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

 

“Tahniyk inakuwa ni pale anapozaliwa tu, ili iwe cha mwanzo anachokula mtoto ni kile kitam alichorambishwa.’’

 

[Fataawaa Nuwr ‘Ala Ad-Darb Kanda (339)]

 

 

 

Share