Fataawa Mbalimbali
Fataawa Mbalimbali
Fataawa Mbalimbali
Swalaatur-Raghaaib Bid‘ah Inayochukiza Mno Inapaswa Kukemewa
Imaam An-Nawawiy (Rahimahu-Allaah)
Imaam An-Nawawiy amesema kuhusu Swalaatur-Raghaaib (inayoswaliwa mwezi wa Rajab): “Hiyo ni bid’ah inayochusha na inayokanushwa kwa nguvu, imejumuisha maovu kadhaa. Hivyo inapaswa kuachiliwa mbali na kukemewa kwa mwenye kuitekeleza.”
Fataawa Mbalimbali
Usiswali Nyuma Ya Anayesema Qur-aan Imeumbwa
Imaam Ahmad bin Hanbal (Rahimahu Allaah)
Fataawa Mbalimbali
Fataawaa
Maudhui Za Hukmu Mbali Mbali