Skip navigation.
Home kabah

Hadithi Ya 14: Damu Ya Muislamu Isimwagwe Isipokuwa Kwa Sababu Tatu


الحديث الرابع عشر

" لا يحل دم امريء مسلم إلا بإحدى ثلاث"

 

 عن ابْنِ مَسْعُودٍ رضي اللهُ عنه قالَ: قالَ رسُولُ الله صلى الله عليه وسلم: ((لاَ يَحِلُّ دَمُ امْرِئٍ مُسْلِمٍ   إلاّ بإحْدَى ثَلاَثٍ: الثَّيِّبُ الزَّاني، وَالنَّفْسُ بالنّفْسِ، وَالتَّارِكُ لِدِيِنِهِ الْمُفَارِقُ لِلْجَماعَةِ)).

 

رَوَاهُ الْبُخَارِيّ وَمُسْلِمٌ    

HADITHI YA 14

DAMU YA MUISLAMU ISIMWAGWE ISIPOKUWA KWA SABABU TATU

Kutoka kwa Ibn Mas'udرضي الله عنه   ambae alisema: Mtume صلى الله عليه وسلم kasema :

Damu ya Muislamu haiwezi kwa haki kumwagwa isipokuwa katika hali tatu:  Mzinzi Muolewa (Mtu  mzima aliyeoa/olewa), uhai kwa uhai (nafsi kwa nafsi) na kwa     yule    anaewacha dini  na akajifarikisha na  jamaa (kundi) (amejitenga na watu wa dini yake).

Imesimuliwa na Al-Bukhari na Muslim