Neema Ya Pepo Tuliyoahidiwa
18 Jumaadal Aakhirah 1427
Tunaendelea kutaja neema za Pepo tuliyoahidiwa na Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) ambazo zimejaa masimulizi yake katika Qur-aan na Hadiyth,
Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) :
إِنَّ لِلْمُتَّقِينَ مَفَازًا ﴿31﴾ حَدَائِقَ وَأَعْنَابًا ﴿32﴾ وَكَوَاعِبَ أَتْرَابًا ﴿33﴾ وَكَأْسًا دِهَاقًا ﴿34﴾
لَّا يَسْمَعُونَ فِيهَا لَغْوًا وَلَا كِذَّابًا ﴿35﴾ جَزَاء مِّن رَّبِّكَ عَطَاء حِسَابًا ﴿36﴾
31. Hakika wacha Mungu wanastahiki kufuzu
32. Mabustani na mizabibu
33. Na wake waliolingana nao
34. Na bilauri zilizojaa
35. Hawatasikia humo upuuzi wala uongo
36. Malipo kutoka kwa Mola wako Mlezi, kipawa cha kutosha.
[An-Nabaa:31-36]
Ansasema tena katika Suratul-Waaqi'ah:
وَالسَّابِقُونَ السَّابِقُونَ ﴿10﴾ أُوْلَئِكَ الْمُقَرَّبُونَ ﴿11﴾ فِي جَنَّاتِ النَّعِيمِ ﴿12﴾ ثُلَّةٌ مِّنَ الْأَوَّلِينَ ﴿13﴾ وَقَلِيلٌ مِّنَ الْآخِرِينَ ﴿14﴾ عَلَى سُرُرٍ مَّوْضُونَةٍ ﴿15﴾ مُتَّكِئِينَ عَلَيْهَا مُتَقَابِلِينَ ﴿16﴾ يَطُوفُ عَلَيْهِمْ وِلْدَانٌ مُّخَلَّدُونَ ﴿17﴾ بِأَكْوَابٍ وَأَبَارِيقَ وَكَأْسٍ مِّن مَّعِينٍ ﴿18﴾ لَا يُصَدَّعُونَ عَنْهَا وَلَا يُنزِفُونَ ﴿19﴾ وَفَاكِهَةٍ مِّمَّا يَتَخَيَّرُونَ ﴿20﴾ وَلَحْمِ طَيْرٍ مِّمَّا يَشْتَهُونَ ﴿21﴾ وَحُورٌ عِينٌ ﴿22﴾ كَأَمْثَالِ اللُّؤْلُؤِ الْمَكْنُونِ ﴿23﴾ جَزَاء بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ ﴿24﴾
10. Na wa mbele watakuwa mbele.
11. Hao ndio watakaokaribishwa
12. Katika Bustani zenye neema
13. Fungu kubwa katika wa mwanzo
14. Na wachache katika wa mwisho.
15. Watakuwa juu ya viti vya fakhari vilivyotonewa.
16. Wakiviegemea wakielekeana
17. Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele
18. Kwa vikombe na mabirika na bilauri za vinywaji kutoka chemchem
19. Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa
20. Na matunda wayapendayo
21. Na nyama za ndege
22. Na Mahurul-’aini
23. Walio kama mfano wa lulu ziliohifadhiwa.
24. Ni malipo kwa waliyokuwa wakiyatenda
[Al-Waaqi'ah:10-24]
Surah hiyo tukufu inaendelea kutaja mema ya Pepo:
لَا يَسْمَعُونَ فِيهَا لَغْوًا وَلَا تَأْثِيمًا ﴿25﴾ إِلَّا قِيلًا سَلَامًا سَلَامًا ﴿26﴾ وَأَصْحَابُ الْيَمِينِ مَا أَصْحَابُ الْيَمِينِ ﴿27﴾ فِي سِدْرٍ مَّخْضُودٍ ﴿28﴾ وَطَلْحٍ مَّنضُودٍ ﴿29﴾ وَظِلٍّ مَّمْدُودٍ ﴿30﴾ وَمَاء مَّسْكُوبٍ ﴿31﴾ وَفَاكِهَةٍ كَثِيرَةٍ ﴿32﴾ لَّا مَقْطُوعَةٍ وَلَا مَمْنُوعَةٍ ﴿33﴾ وَفُرُشٍ مَّرْفُوعَةٍ ﴿34﴾ إِنَّا أَنشَأْنَاهُنَّ إِنشَاء ﴿35﴾ فَجَعَلْنَاهُنَّ أَبْكَارًا ﴿36﴾ عُرُبًا أَتْرَابًا ﴿37﴾ لِّأَصْحَابِ الْيَمِينِ ﴿38﴾ ثُلَّةٌ مِّنَ الْأَوَّلِينَ ﴿39﴾ وَثُلَّةٌ مِّنَ الْآخِرِينَ ﴿40﴾
25. Humo hawatasikia porojo wala maneno ya dhambi
26. Isipokuwa maneno ya Salama, Salama
27. Na wale wa mkono wa kulia, ni yepi yatakuwa ya wa kuliani?
28. Katika mikunazi isiyo na miba,
29. Na migomba iliyopangiliwa,
30. Na kivuli kilichotanda,
31. Na maji yanayomiminika
32. Na matunda mengi
33. Hayatindikii wala hayakatazwi,
34. Na matandiko yaliyonyanyuliwa.
35. Hakika Sisi Tutawaumba (Mahurul-‘aini) upya
36. Na tutawafanya vijana,
38. Kwa ajili ya watu wa kuliani.
39. Fungu kubwa katika wa mwanzo
40. Na fungu kubwa katika wa mwisho.
[Al-Waaqi'ah:25-40]
Wa kwanza kuingia Peponi ni Mtume (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam):
Amesema Mtume (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) ((Nitafika (katika mlango wa) Pepo nitaomba idhini ya kuingia, atasema milinzi: Nani wewe? Nitasema: Mimi ni Muhammad. Atasema: Kwako nimeamrishwa wala sikuamrishwa nimfungulie mtu mwingine kabla yako)) [Muslim]
Tutazame baadhi ya Hadiyth chache miongoni mwa nyingi zinazosimulia neema za Pepo:
Daraja yake:
عن أبي سعيد الخدري عن النبي صلى الله عليه و سلم قال: ((إن في الجنة مئة درجة، ولو أن العالمين اجتمعوا في إحداهن وسعتهم)) رواه أحمد بن حنبل في مسنده
Kutoka kwa Abi Sa'iydil-Khudriy (Radhiya Allahu 'anhu) kwamba Mtume (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Katika Pepo kuna daraja, na lau
عن أبي هريرة عن النبي صلى الله عليه و سلم قال: ((”إن في الجنة مئة درجة أعدها الله للمجاهدين في سبيله، بين كل درجتين كما بين السماء و الأرض، فإذا سألتم الله فاسألوه الفردوس...إلخ)) رواه البخار
Kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allahu 'anhu) kwamba Mtume (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Katika Pepo kuna daraja mia ambazo Ameziahidi Allah kwa wanaopigana kwa ajili yake, baina ya kila daraja mbili
Hakuna uchafu humo:
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : (( إن أول زمرة يدخلون الجنة على صورة القمر ليلة البدر ، ثم الذين يلونهم على أشد كوكب دري في السماء إضاءة ، لا يبولون ولا يتغوطون ، ولا يتفلون ولا يمتخطون ، أمشاطهم الذهب ، ورشحهم المسك ، ومجامرهم الألوة - الألنجوج ، عود الطيب - وأزواجهم الحور العين ، على خلق رجل واحد ، على صورة أبيهم آدم ، ستون ذراعا في السماء(( البخاري
Amesema Mtume (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam)
((Kundi la mwanzo watakaongia Peponi watakuwa
[Al-Bukhaariy]
عَنْ حَكِيم بْن مُعَاوِيَة عَنْ أَبِيهِ قَالَ سَمِعْت رَسُول اللَّه صَلَّى اللَّه عَلَيْهِ وَسَلَّمَ يَقُول : (( فِي الْجَنَّة بَحْر اللَّبَن وَبَحْر الْمَاء وَبَحْر الْعَسَل وَبَحْر الْخَمْر ثُمَّ تَشَقَّقُ الْأَنْهَار مِنْهَا بَعْد)) وَرَوَاهُ التِّرْمِذِيّ
Imetoka kwa Hakiym bin Mu'aawiyah kutoka kwa baba yake ambaye amesema: Nimemsikia Mtume (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: ((Katika Pepo, kuna bahari ya maziwa, na bahari ya maji, na bahari ya asali na bahari ya ulevi (wenye ladha) kisha
[At-Tirmidhiy]
Kwa sifa chache hizo tulizozisoma, tunatumai Insha Allah tutajitahdi kufanya mema mengi ili tulipwe neema ya Pepo ambayo humo tutaishi milele kwa furaha na amani.
Sumayyah – Mwanamke wa kwanza kufa shahidi:
Summayyah (Radhiya Allahu 'anha) ambaye ni mwanamke wa kwanza kufa shahidi, kisa chake ni mashuhuri. Na
Kifo chake:
Siku moja alikuwa amesimama wakati Abu Jahl anapita njia hiyo. Abu Jahl alipomwona akamrushia maneno machafu na kisha akamchoma mkuki wake katika sehemu zake za siri, akafariki kutokana na majeraha hayo.
Kusubiri kwake na mapenzi yake ya dini hii tukufu kumempa cheo cha shahidi, ambacho malipo yake ni Pepo ya kudumu milele, furaha, salama na amani.
************
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha


