Imaam Ibn Rajab: Sha'baan: Hikmah Ya Kukithirisha Swiyaam Katika Sha’baan

 

Hikmah Ya Kukithirisha Swiyaam Katika Sha’baan

 

Imaam Ibn Rajab (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

Ibn Rajab (Rahimahu Allaah) amesema: 

 

“Kwa vile mwezi wa Sha’baan ni mwezi wa kabla ya Ramadhwaan, basi yaliyohukumiwa humo ni kama yaliyohukumiwa katika Sha’baan kama Swiyaam na kusoma Qur-aan ili kujitayarisha kukutana na Ramadhwaan na kuzizoesha nafsi kwa haya katika kumtii Ar-Rahmaan”

 

 

[Latwaaif Al-Ma’aarif, uk. 135]

 

Share