Shaykh Fawzaan: Sha'baan: Hukmu Swiyaam Mwezi Wa Sha’baan

 

Hukmu Swiyaam Mwezi Wa Sha’baan

 

Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

Je kuna lolote lilotajwa kuhusu Swiyaam ya Sha’baan? Nini Hukmu ya kuihusisha tarehe 15 mwezi wa Sha’baan kila mwaka kwa Swiyaam?

 

JIBU:

 

Na’aam. Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alikuwa akifunga Swawm katika Sha’baan na akifunga zaidi humo. Hivyo Sunnah ni kufunga katika Sha’baaan na kukithirisha kufunga.

 

[Mawqi' Ar-Rasmiy li-Ma'aaliy Shaykh Swaalih bin Fawzaan] 

 

 

 

 

Share