Skip to main content

Fataawaa: 'Itikaaf (Kubakia Msikitini Kufanya 'Ibaadah)06-Imaam Ibn Baaz: Je, Ili I’tikaaf Iwe Sahihi Inalazimika Mtu Awe Katika Swawm?

Je, Ili I’tikaaf Iwe Sahihi Inalazimika Mtu Awe Katika Swawm?

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

www.alhidaaya.com

06. Je, Ili I’tikaaf Iwe Sahihi Inalazimika Mtu Awe Katika Swawm?

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

Sahihi ni kwamba haina ulazima mtu awe katika Swawm. 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (15/441)]