08-Al-Arba’uwn An-Nawawiyyah: Nimeamrishwa Nipigane Vita Na Watu

 

 

Al-Arba’uwn An-Nawawiyyah:

 

Hadiyth Ya 8

 

أُمِرْتُ أَنْ أُقاتِلَ النَّاسَ

 

Nimeamrishwa Nipigane Vita Na Watu

 

Alhidaaya.com

 

 

Sikiliza Hadiyth:

 

 

 

 عن ابنِ عُمَرَ رضي الله عنهما أنَّ رسُوَل الله صلى الله عليه وسلم قال: ((أُمِرْتُ أَنْ أُقاتِلَ النَّاسَ حتَّى يَشْهَدُوا أنْ لا إلَهَ إلاَّ اللهُ وأنَّ محمداً رسوُل اللهِ، ويُقِيمُوا الصَّلاَةَ، ويُؤتُوا الزَّكاةَ، فإذا فَعَلوا ذَلِكَ عَصَموا منِّي دِماءَهُمْ وأمْوَالَهُمْ إلا بِحَقِّ الإِسْلامِ، وحِسابُهُم على اللهِ تعالى)) رَوَاهُ الْبُخَارِيُّ   وَمُسْلِمٌ   

 Imepokelewa kutoka kwa Ibn ‘Umar (Radhwiya Allaahu 'anhumaa)  kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Nimeamrishwa nipigane vita na watu mpaka washahidie kwamba hakuna Muabudiwa wa haki ila Allaah  na kwamba Muhammad ni Rasuli wa Allaah, na wasimamishe Swalaah na watoe Zakaah.  Watakapofanya hivyo, watakuwa wamepata himaya Kwangu ya damu zao, na mali zao isipokuwa  kwa haki ya Uislamu, na hesabu yao itakuwa kwa Allaah Ta’aalaa.” [Al-Bukhaariy na Muslim]

 

 

Share