Maswali: Zinaa-Liwati
Zinaa-Liwati
Maswali: Zinaa-Liwati
SWALI:
Asalam Alaikum, mimi ninaishi ulaya na huku kuna wanaume wenye kulalana.
Swali langu ni je kama muislamu kafanya hivyo anaweza kurudi kwa mola wake na akaomba tawbah?
Maswali: Zinaa-Liwati
SWALI:
Assalaam aleykum. Mie nilikuwa nauliza jee? Mwanaume akitembea na mke wa mtu vipi atubie.