Imaam Ibn Taymiyyah: Qur-aan Katika Kuzingatiwa Maana Yake Ni Theluthi Tatu

Qur-aan Katika Kuzingatiwa Maana Yake Ni Theluthi Tatu 

 

Imaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu-Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

Amesema Sheikhul-Islaam (Rahimahu-Allaah):

 

 

Qur-aan katika kuzingatiwa maana yake ni theluthi tatu:

 

1-Theluthi ya Tawhiyd

 

2-Theluthi ya Visa (vya Manabii na Ummah zilopita)

 

3-Theluthi ya maamrisho na makatazo.

 

 

[Iqtidhwaa Swiraatw Al-Mustaqiym 570]

 

 

 

Share