Skip to main content

09-Ramadhwaan: Mafunzo Katika Miezi Ya Hijri: Ya Kutekeleza Na Ya Kujiepusha

Mafunzo Ya Minasaba

09-Ramadhwaan

Mafunzo Katika Miezi Ya Hijri: Ya Kutekeleza Na Ya Kujiepusha

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمنِ الرَّحِيم

Kwa Munaasaba wa mwezi mtukufu wa Ramadhwaan, Alhidaaya.com imewakusanyia na kuwaandalia faida mbalimbali za Fiqh ya Ramadhwaan: Yanayohusiana na hukmu za Swiyaam kwa ujumla, Fataawaa Za 'Ulamaa, Maswali Na Majibu, pamoja na faida nyinginezo za kusoma na kusikiliza ili kuwasaidia kwa wepesi katika kutekeleza vizuri kabisa ‘ibaadah zenu katika Ramadhwaan. Hali kadhaalika tumeanza kuwawekea Duruws, Mawaidha na Fataawaa za ‘Ulamaa wakubwa kwa lugha ya Kiarabu.

Nasiha Na Makala Muhimu Za Ramadhwaan:

Nyakati Tatu Muhimu Za Kufanya 'Ibaadah – Zisikupite Katika Ramadhwaan

Mwezi Wa Ramadhwaan Imeteremshwa Qur-aan - Jichumie Fadhila Za Kusoma Na Kuhifadhi Qur-aan

Fadhila Na Faida Za Qiyaamul-Layl

Ramadhwaan Ni Mwezi Wa Du’aa Na Du’aa Hutakabaliwa

Tafsiyr Ya Imaam As-Sa'dy: Kufaridhiswa Swawm  

Ingia Katika Milango Mingi Ya Kheri Ramadhwaan  

Nasiha 40 Za Ramadhwaan – Zitekeleze Ufaidike na Mwezi Mtukufu --  

Makosa Yafanywayo Na Wenye Kufunga Katika Mwezi Wa Ramadhwaan   

Fadhila Za Swiyaam Za Fardhi Na Za Sunnah

 Fadhila Za Kusoma Na Kuhifadhi Qur-aan Katika Hadiyth Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)  

Aayaat Kuhusu Fadhila Za Qur-aan Na Umuhimu Wake  

Fiqh Ya Swawm Ya Ramadhwaan Kutoka Kitabu 'Al-Wajiyz Fiy Fiqhis-Sunnah Wal-Kitaabil-'Aziyz  

Kumi La Mwisho Ramadhwaan Na Laylatul-Qadr

Siku Kumi Za Mwisho Za Ramadhwaan

Laylatul-Qadr- Vipi Uweze Kuupata Usiku Huu?

Baada Ya Ramadhwaan:

Mambo Matatu Yanayofuatia Ramadhwaan: Zakaatul-Fitwr, 'Iydul-Fitwr Na Swawm Ya Sittatush Shawwaal

Zakaatul-Fitwr: Hikmah Na Hukmu Zake

'Iyd Al-Fitwr: Yaliyo Sunnah Kutekelezwa

Sita Za Shawwaal Na Swawm Nyinginezo Baada Ya Ramadhaan  

Nini Baada Ya Ramadhwaan?

Kubakia Imara (Thabiti) Baada ya Ramadhaan  

Fataawaa Za 'Ulamaa:

Fataawaa Nyenginezo Za 'Ulamaa:

Shaykh Fawzaan: Kuambizana ”Ramadhwaan Kariym” Haikuthibiti

Imaam Ibn Taymiyyah: Kutamka Niyyah Katika ‘Ibaadah Ni Upungufuu Katika Akili Na Dini

Imaam Ibn Baaz: Mwenye Swawm Ni Muhimu Asiache Sahuwr (Daku)

Al-Lajnah Ad-Daa'imah: Hakuweza Kulipa Swawm Za Ramadhwaan Zilopita Kwa Sababu Alikuwa Anazaa Siku Za Ramadhwaan

Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Kutamka Niyyah Katika ‘Ibaadah Ni Bid’ah Bali Mahali Pake Ni Moyoni

Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Kutumia Manukato Mazuri Siku Za Ramadhwaan

Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Mashaytwaan Kufungwa Minyororo Ilhali Waislamu Hutenda Maasi

Shaykh Fawzaan: Mwenye Hedhi Kugusa Qur-aan Au Aayah Katika Simu Za Mkononi

Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Hukmu Ya Aliyefariki Akiwa Ana Deni La Swiyaam Za Ramadhwaan

Imaam Ibn Baaz - Lipi Lilokuwa Bora Baina Kuisoma Qur-aan Na Kuisikiliza

Al-Lajnah Ad-Daa'imah: Usiseme ‘Swadaqa Allaahu Al-‘Adhwiym’ Baada Ya Kusoma Qur-aan

Al-Lajnah Ad-Daa'imah: Kumdhukuru Allaah Kila Baada Ya Rakaa Za Taraawiyh Ni Bid’ah (Uzushi)

Kumi La Mwisho Na I’tikaaf:

Imaam Ibn Baaz - Wakati Maalumu Wa I’tikaaf Kuingia Na Kutoka Kwake Na Je, Inajuzu Kuikata?

Imaam Ibn Baaz - Mambo Ambayo Yanampasa Mu’takif Katika Kutekeleza I’tikaaf Yake

 Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Ikiwa Ana Majukumu Je Lipi Bora Atekeleze I’tikaaf Au Atimize Majukumu Yake?

Imaam Ibn Baaz - Kurefusha Qiyaamul-Layl Katika Siku Kumi Za Mwisho Na Je Kuna Tofauti Ya Taraawiyh Na Qiyaamul-Layl?

Shaykh Fawzaan: Qiyaamul-Layl: Kuswali Baada Ya 'Ishaa Na Usiku Katika Makumi Ya Mwisho

‘Iyd Na  Sitta Shawaal  

Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Swalaah Ya ‘Iyd Inavyoswaliwa

Imaam Ibn Baaz - Swiyaam Za Sitta Shawwaal Zifungwe Kwa Kufululiza Au Bila Kufufuliza?

Zakaatul-Fitwr

Al-Lajnah Ad-Daa'imah: Haijuzu Kuichelewesha Zakaatul-Fitwr

Kauli Za Salaf:

Imaam Ibn Baaz: Nasiha Kwa Waislamu Kupokea Ramadhwaan Kwa Tawbah Ya Kweli Na Kujifunza ‘Ilmu Ya Dini Yao

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Ramadhwaan Ni Katika Neema Za Allaah Kwa Waja Wake

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Nasiha Kwa Maimaam Wa Misikiti Waswalishe Qiyaamul-Layl Kwa Utulivu

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Sharh Thawabu Za Kumfuturisha Mwenye Swawm

Ibn Rajab: Swiyaam Ni Miongoni Mwa Subira Na Thawabu Zake Hazina Hesabu

Shaykh Fawzaan - Swawm Si Kuacha Kula Na Kunywa Pekee

Imaam Ibn Taymiyyah: Allaah Anasikiliza Du’aa Na Anaitikia

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Sharh Thawabu Za Kumfuturisha Mwenye Swawm

Laylatul-Qadr and End Ramadhaan

Imaam Ibn Al-Qayyim: Ingekuwa Laylatul-Qadr Inapatikana Mwaka Mzima

Imaam Ibn Rajab: Kuomba Al-‘Afwu Kwa Allaah Laylatul-Qadr Na Kusameheana

Imaam Ibn Baaz: Usiku Wa Laylatul-Qadr Hubadilika Kila Mwaka

Imaam Ibn Rajab: Ramadhwaan Inaaga Chukua Fursa Masiku Yaliyobakia Kutenda Mazuri

Imaam Ibn Rajab: Vipi Muumin Yasimtoke Machozi Kwa Kuondoka Ramadhwaan ?

Shaykh Fawzaan - Alama Za Kukubaliwa (Matendo) Katika Ramadhwaan

Kutoa Zakaah

Zakaatul-Fitwr: Hikmah Na Hukmu Zake

Mashairi:

01-Inakuja Ramadhani, Viumbe Tuwe Tayari

02-Karibu Wetu Mgeni, Mtukufu Ramadhani

03-Ramadhani Kutufika, Twamshukuru Rahimu

04-Ramadhani Imefika, Mola Tusamehe Dhambi

05-Ramadhani Inaaga, Mola Tusamehe Dhambi

06-Ramadhani Inakwisha, Mola Tusamehe Dhambi.

07-Kufunga Sita Ni bora, Kutimiza Msafara

Zingatio:

Zingatio: Hodi Ramadhwaan Inapiga

Zingatio: Wakati Ni Huu Wa Ramadhwaan

Zingatio: Ramadhwaan Mgeni Bora

Zingatio: Kuukaribisha Mwezi Mtukufu Wa Ramadhwaan Na Kukhofia Kikata Ladha

Zingatio: Ramadhwaan Alhidaaya Imefika

Zingatio: Tuikirimu Ramadhwaan

Zingatio: Utaipata Wapi Tena Fursa Hii Ya Ramadhwaan?

Zingatio: Yaa Rahiym, Tukubalie Swawm Zetu

Zingatio: Zifunge Swiyaam Za Sitta Shawwaal

Du'aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)

Hiswnul-Muslim: Du’aa Na Adhkaar Kusoma Na Kwa Kusikiliza (Toleo Lilohaririwa)

Maswali Na Majibu Kuhusu Ramadhwaan Na Swiyaam Kwa Ujumla

Hukmu Za Swawm

Swawm Za Sunnah

Yanayobatilisha-Yasiyobatilisha Swawm

Maswali Kuhusu Swalaah za Tarawiyh

Maswali Kuhusu Hilaal (Mwandamo Wa Mwezi)

Mwandamo Wa Mwezi – Waislamu Wote Duniani Wafunge Siku Moja Na Kula ‘Iyd Siku Moja ?

Mwandamo Wa Mwezi Upi Sahihi Wa Kitaifa Au Kimataifa?

Utata wa Kufunga Swawm na Kufungua Kutokana Na Kutofautiana Kuhusu Mwandamo Wa Mwezi

Mwandamo Wa Mwezi; Kila Mji Ufuate Mwezi Unapoonekena Kwao Au Mwandamo Wa Kimataifa?

Kuonekana Kwa Mwezi Mwandamo Sehemu Tofauti Na Kuanza Funga

Kufuata Mwezi Wa Kitaifa Au Wa Kimataifa; Kupishana Masaa; Wazee Zamani Walikuwa Wanapataje Habari Kuhusu Mwezi Wa Kimataifa

Mwezi Ulionekana Siku Moja Nchi Nyingine Mapema Zaidi Yetu Je, Tulipe Siku Hiyo?

Ni Sawa Kumfuata Mume Kwa Msimamo Wa Mwezi Wa Kitaifa Japokuwa Alikuwa Akifuata Unapoonekana Popote Duniani?

Tunaambiwa Wanaofuata Mwezi Wa Kimataifa Wamekosea Na Walipe Swawm Je, Ni Sawa?

Maswali Kuhusu Swawm:

Uzushi Wa Swalaah Makhsusi Za Siku Kumi La Mwisho Wa Ramadhwaan -- Maswali: Bid'ah - Uzushi

Maswali Qiyaamul-Layl Taarawiyh, Laylatul Qadr

Maswali Mbali Mbali Kuhusu Swalah Ya Tarawiyh, Witr Na Du'aa Ya Laylatul-Qadr -- Maswali: Swalah Ya Jamaa

Akiswali Taraawiyh Masjid Inajuzu Aswali Tena Nyumbani Akiamka Usiku? -- Maswali: Swalah Ya Jamaa

Vipi Kutia Niyyah Swalaah Za Qiyaamul-Layl? -- Maswali: Swalah-Sunnah

Swalaah Ya Witr Inaswaliwa Vipi Na Vipi Kutia Niyyah? -- Maswali: Swalah-Sunnah

Wakati Wa Swalaah Ya Tahajjud Na Vipi Kuswali -- Maswali: Swalah-Sunnah

Uzushi Wa Adhkaar Kila Baada Ya Rakaa Mbili Au Nne Za Swalaah Ya Taraawiyh Kuhusu Adhkaar Na Surah Katika Swalah Ya Qiyamul-layl Na Witr -- Maswali: Surah-Du'aa

Idadi Ya Rakaa Za Taraawiyh, Mwisho Wake, Na Jinsi Ya Kuziswali Rakaa Tatu Za Witr -- Maswali: Swalah Ya Jamaa

Akiondoka Kabla Ya Imaam Kumaliza Rakaa 20 Na Akiswali Witr Nyumbani Atapata Fadhila Za Qiyaamul Layl? -- Maswali: Swalah Ya Jamaa

Kumi La Mwisho, Laylatul-Qadr, I’tikaaf 

Mwanamke Mwenye Hedhi Afanye Nini Masiku Ya Mwisho Kupata Laylatul-Qadr? -- Maswali: Twahara Hedhi-Nifaas-Ghuslu

Swalaah Makhsusi Za Siku Kumi La Mwisho Wa Ramadhwaan Sahihi Au Uzushi? -- Maswali: Bid'ah - Uzushi

Mwanamke Kupata Laylatul Qadr Akiwa katika Hedhi -- Maswali: Twahara Hedhi-Nifaas-Ghuslu

Akipitiwa Usingizi Baada Ya Kufanya Ibada Usiku Wa Laylatul Qadr Atakauwa Ameupata Usiku Huu Mtukufu? -- Maswali: Swalah-Sunnah

Wanawake Wanaweza Kufanya I'tikaaf? -- Maswali: Swalah-Sunnah

Inafaa Kufanya Adhkaar Nyumbani Kumi La Mwisho Ramadhaan Ikiwa Siruhusiki Kwenda Msikitini? -- Maswali: Hukmu Za Swawm

Wanawake Wanaweza Kufanya I'tikaaf Nyumbani? -- Maswali: Swalah-Sunnah

Mwanamke Mwenye Hedhi Anaweza Kumdhukuru Allaah Na Kutaja Majina Yake Mazuri? -- Maswali: Twahara Hedhi-Nifaas-Ghuslu

Maswali Kuhusu Zakaatul Fitwr:

Kutoa Zakaatul-Fitwr Wiki Moja Kabla Ya 'Iyd -- Maswali: Zakaah

Anajitegemea Mwenyewe, Anachangia Katika Futari; Je, Anawajibika Kutoa Zakaatul-Fitwr? -- Maswali: Zakaah

Kutoa Zakaatul-Fitwr Kwa Kiwango Zaidi Ya Anachostahiki Maskini Na Kutoa Siku Kumi Kabla Ya Ramadhwaan Kumalizika -- Maswali: Zakaah

Zakaatul-Fitwr Inafaa Kwa Ajili Ya Kusaidia Matibatu Ya Yatima? -- Maswali: Zakaah

Anapata Misaada Ya Kulea Yatima, je Atoe Zakaatul-Fitwr? -- Maswali: Zakaah

Kiwango Cha Zakaatul-Fitwr Ni Chakula Cha Masikini Mmoja Si Siku 30 -- Maswali: Zakaah

Kiwango Gani Cha Kutoa Zakaatul-Fitwr? Nani Nipasaye Kumlipia? -- Maswali: Zakaah

Maisha Yetu Ni Duni Je, Inatupasa Kutoa Zakaatul-Fitwr? -- Maswali: Zakaah 

Mke Yuko Mbali Na Mume, Zakaatul Fitwr Yake Itolewe Wapi? -- Maswali: Zakaah

Anafanya Kazi; Je, Alipe Mwenyewe Zakaatul-Fitwr Au Wazazi Wake Wamlipie?

 

Mwanafunzi Nchi Za Nje Atoe Zakaatul-Fitwr Au Wazazi Wake Wamtolee?

Maswali Ya IYD

Je, Inanyanyuliwa Mikono Katika Kila Takbiyrah Ya Ziada Kwenye Swalaah Ya 'Iyd? -- Maswali: Swalah Ya Jamaa

Kuna Du’aa Ya Kunuia Kwa Ajili Ya ‘Iyd -- Maswali: Hukmu Za Swawm

Tofauti Ya Takbiyrah Za Iydul-Fitwr Na Iydul-Adhwhaa -- Maswali: Swalah Ya Jamaa

Je, Inanyanyuliwa Mikono Katika Kila Takbiyrah Ya Ziada Kwenye Swalaah Ya 'Iyd? -- Maswali: Swalah Ya Jamaa

Maswali Ya Sitta Shawwaal

Kulipa Deni Kwanza Au Kufunga Sita Shawwaal -- Maswali: Swawm Za Sunnah

Ufafanuzi Wa Thawabu Za Sita Kama Kufunga Mwaka Mzima -- Maswali: Swawm Za Sunnah

Kufunga Ijumaa Na Jumamosi Katika Sita Ya Shawwaal Yafaa -- Maswali: Swawm Za Sunnah

Anaweza Kufunga Swawm Za Sunnah Katika Mwezi Wa Shawwaal? -- Maswali: Swawm Za Sunnah

Hukumu Ya Kufunga Siku Ya Jumamosi Pekee Na Inapoangukiwa Siku Ya 'Arafah Au 'Ashuraa

Ufafanuzi Wa Thawabu Za Sita Kama Kufunga Mwaka Mzima 

Kulipa Deni La Ramadhaan Na Sita Shawwaal

Inafaa Kufunga Swawm Za Naafil (Sunnah) Kabla Ya Kulipa Deni La Ramadhaan?

Kufunga Ijumaa Na Jumamosi Katika Sita Ya Shawwaal Yafaa

Imaam Al-Albaaniy

Shaykh Swaalih Al-Fawzaan