Inafaa Kusoma Qur-aan Kwa Kutazama Musw-haf Katika Swalaah Za Sunnah?

 

Inafaa Kusoma Qur-aan Kwa Kutazama Musw-haf Katika Swalaah Za Sunnah?

 

Alhidaaya.com

 

 

SWALI:

 

Assalaam alaykum. My dear brothers.

 

My question is it possible to my Sunnah prayers, while reading the suwrah by holding the holly Qur'aan in my hand? I did not memorize those suwrah, I would like to know if it is possible.

 

 

Asslm alekum.

Niliuliza suali, kusoma Qur-aani katika swala kwa kushika kitabu mkononi kusoma suwrah,je inakubalika hilo, naomba jibu. Tafadhali, kwani mimi sijajua kusoma kwa moyo bado.

asanteni.

 

 

 

 

JIBU:

 

 

AlhamduliLLaah Himidi Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta’aala) Rabb wa walimwengu, Swalaah na Salaam zimshukie Nabiy Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhwiya Allaahu 'anhum) na waliowafuata kwa wema mpaka Siku ya Mwisho.

 

 

Hakika ni kuwa inajuzu kwa Muislamu kushika msahafu na kusoma kwayo akiwa anaswali Swalah za Sunnah bila ya tatizo lolote na hasa ikiwa ni Swalah ya usiku (kama Tahajjud) ambayo inahitajika kuwa ndefu kiasi.

 

 

 

Na Allaah Anajua zaidi

 

 

Share