35-Zawadi Kwa Wanandoa: Adabu Za Maisha Ya Ndoa

 

Zawadi Kwa Wanandoa

 

35-Adabu Za Maisha Ya Ndoa

 

آداب الحياة الزّوجية

 

 

Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) Amesema katika Surat Ruum Aayah ya 21:

 

ومن آياته أن خلق لكم من أنفسكم أزواجا لتسكنوا إليها وجعل بينكم مودة ورحمة إن في ذلك لآيات لقوم يتفكرون

 

“Na katika ishara Zake (za Kuonyesha ihsan juu yenu) ni kuwa Amekuumbieni wake zenu katika jinsi yenu ili mupate utulivu kwao, Naye Amejaalia mapenzi na huruma baina yenu. Bila shaka katika haya zimo ishara kwa watu wanaofikiri.” (Ar-Ruwm: 21)

 

Katika Aayah hii kuna ishara katika misingi inayosimamisha maisha mazima ya mke na mume ambayo itapelekea katika furaha. Furaha ambayo itakuwa na misingi madhubuti ya mapenzi na huruma, mawaddatan warahmah.

 

Ni juu ya wanandoa wawili kuujenga vizuri uhusiano wao hadi ufikie katika sifa hii ya mapenzi (mawadda) wanapokuwa ni vijana, na kuhurumiana (rahma) wanapokuwa ni watu wazima.

 

Na katika jumla za adabu ya maisha ya ndoa ni:

 

Share