Lini Anapaswa Mu’takif Kutoka Katika I’tikaaf Yake?
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
17. Lini Anapaswa Mu’takif Kutoka Katika I’tikaaf Yake?
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:
Anatoka Mu’takif kutoka katika I’tikaaf yake inapomalizika Ramadhwaan, na Ramadhwaan humalizika kwa kuzama jua usiku wa ‘Iyd.
[Majmuw’ Al-Fataawaa (20/170)]