Kauli Za Salaf: Firaq (Makundi)
Tofauti Ya Moyo Wa Mtu Wa Sunnah Na Wa Mtu Wa Bid’ah
Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)
Mtu wa Sunnah moyo wake uko hai na una nuru.
Ama mtu wa bid’ah moyo wake umekufa na uko kizani.
[Ijtimaa’ Al-Ajuyuwsh Al-Islaamiyyah (2/39)]