Kauli Za Salaf: Manhaj
Uislamu Wa Uhakika Ni Ghariyb (Mgeni) Pamoja Na Watu Wake
Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah) amesema:
“Uislamu wa uhakika ni ghariby (mgeni/usiojulikana) mno, na watu wake ni Ghurabaa (wageni); wa ajabu mno baina ya watu.”
[Madaarij As-Saalikiyn (3/148)]