Maswali: Twahara Wudhuu
SWALI:
Assalaam Alaykum Wahmatullah Wabarakatuh ama baada ya maamkizi haya kwanza namshukuru Allah Azza wa Jalla kwa kuniwezesha kuwa hai leo hii na kuweza kuwasiliana nanyi.
Twahara Wudhuu
SWALI:
Assalaam Alaykum Wahmatullah Wabarakatuh ama baada ya maamkizi haya kwanza namshukuru Allah Azza wa Jalla kwa kuniwezesha kuwa hai leo hii na kuweza kuwasiliana nanyi.
Ikiwa Mtachezeana Tu Na Kutokwa Manii Inapasa Kukoga Josho?
SWALI
Assalamu aleikum,
Ninaelewa unaweza au mnaweza kugusana tupu baina ya mke na mume na ikawa hamtokuwa wenye kuhitajika kukoga Janaba.I sipokuwa kama ntatokwa na shahawa.