Maswali: Nikaah na Shariyah Zake
Nikaah na Shariyah Zake
Maswali: Nikaah na Shariyah Zake
SWALI:
Wakati wa kufunga ndoa, Walii na muoaji hupeana mikono, Shaykh anayewaozesha anawashikanisha kisha panazungumzwa maneno marefu, je, mheshimiwa Shaykh –Sifa hii (ya ufungishaji ndoa)- imethibiti katika shari’ah?