Kauli Za Salaf
Tahadharini Na Yanayozushwa Kwani Hakika Yanayozushwa Ni Upotofu
Mu’aadh bin Jabal (Radhwiya Allaahu ‘anhu)
“Tahadharini na yanayozushwa kwani hakika yanayozushwa ni upotofu.”
[Sharh Uswuwl I’tiqaad Ahlis-Sunnah (1/89)]