Imaam Ibn Al-Qayyim: Kutembea Baada Ya Kula Kuimarisha Siha

 

Kutembea Baada Ya Kula Kuimarisha Siha

 

Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)

 

 

Alhidaaya.com

 

 

 

Amesema Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)

 

Baadhi ya wafalme wamewauliza madaktari wao: Najua hutobakia kwangu, hivyo nipe wasifu wa jambo nilifuate na nichukue kutoka kwako. Twabib  akajibu: “Utakapokula usiku usilale hadi utembee walau hatua khamsini.”

 

[Atw-Twibb An-Nabawiy (Uk. 311)] 

 

 

 

 

 

Share