Skip to main content

Fataawaa: Kulipa Swawm Na Sitta Shawwaal14-Imaam Ibn Baaz: Je, Inafaa Kutanguliza Swiyyaam Za Sitta Shawwaal Kabla Ya Swiyaam Za Kafara?

 Je, Inafaa Kutanguliza Swiyyaam Za Sitta Shawwaal Kabla Ya  Swiyaam Za Kafara?

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

www.alhidaaya.com

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

"Lililo waajib ni kuhimiza Swiyyaam za kafara wala haijuzu kutanguliza Swiyaam za Sitta Shawwaal kabla yake kwa sababu hizo ni Naafil (Sunnah) na kafara ni fardhi ambayo ni waajib ipasayo kutimizwa haraka."

[Al-Fataawaa (15/394)]