Al-Lajnah Ad-Daaimah: Kubusu Mswahafu Na Kujipangusia Usoni Baada Ya Kusoma Qur-aan

 

Kubusu Mswahafu Na Kujipangusia Usoni Baada Ya Kusoma Qur-aan

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

 

SWALI:

 

Tunaona baadhi ya ndugu wanapomaliza kusoma Qur-aan huibusu na kujipangusia nayo usoni, je hii imo katika Shariy’ah?

 

JIBU:

 

Jambo hilo hatulijui dalili yake katika Shariy’ah ilyotwaharika.

 

Wa biLLaahi at-tawfiyq wa Swalla Allaahu ‘alaa Nabiyyina Muhammad wa aalihi wa Swahbihi wa sallam.

 

[Fataawaa Al-Lajnah Ad-Daaimah (45/97)]

 

 

Share