Natumai kwa uwezo wa Allah mko katika kheri zake In Shaa Allah. Swali langu naomba mnifahamishe vipi kuitikia salam ya mtu ambaye si Muislam na vipi jinsi ya kumwamkia yeye katika sheria.
Allah subhaanahu wa Taala akujazeni kheri kwa kazi mnayoifanya. amin Naomba kuuliza je nijuavyo ni haramu kwa m/mme kuvaa dhahabu, je ni halali kuvaa fedha?