<?xml encoding="utf-8" ?>
Kuitikia Salaam Au Kumuamkia Asiye Muislam
SWALI:
Asalaam Aleykoum Warahmatullah Wabarakatu.
Natumai kwa uwezo wa Allah mko katika kheri zake In Shaa Allah. Swali langu naomba mnifahamishe vipi kuitikia salam ya mtu ambaye si Muislam na vipi jinsi ya kumwamkia yeye katika sheria.
Wabilahi Tawfiq.
JIBU: